CHA The GREAT
JF-Expert Member
- Nov 11, 2010
- 651
- 854
Hamwakilishi tena (withdrawl) kwenye kesi hiyo kutokana na sababu mbalimbali.
Hivyo anatakiwa kuhandle documents zote na mlolongo wote wa kesi kwa wakili ambaye atakuwa akimwakilisha mahakamani.
Asante, ningependa kufahamu sababu hizo na mifano ya kina.