Nini madhara ya karanga na korosho kwenye miili yetu?

Nini madhara ya karanga na korosho kwenye miili yetu?

JATELO1

JF-Expert Member
Joined
Oct 31, 2011
Posts
1,230
Reaction score
301
Wanajf;
naomba mnisaidie kwa wale wanaofahamu nini madhara ya kula/kutumia sana karanga na korosho? Kwani nimekuwa natumia karanga au korosho zilizokaangwa kila siku. Sasa naomba kwa wale wenye ufahamu; je ni nini madhara ya karanga na korosho kwenye miili yetu?
Nawakilisha.
 
Korosho zina cholestral nyingi leading to hear disease. Bora utumie almond/lozi not roastef
 
Karanga ambazo hazikukaushwa vizuri baada ya kuvunwa zinakuwa attractive kwa fungi ambao baadaye huzalisha aflatoxin ambayo husababisha saratani ya ini. Heri korosho kuliko karanga.
 
Korosho zina cholestral nyingi leading to hear disease. Bora utumie almond/lozi not roastef

Wa wapi wewe?korosho inakata cholestrol,ndio maana vibonge/vitambi huperform wanapozitumia
 
Duu mkuu hapo kwenye karanga hunifikii mim huwa nakula daily kitambo nilikuwa asubuh nakunywa chai na karanga mbich robo na usiku nakula robo na juice sema nilikuwa nafanya sana zoezi.
 
jamani jaribuni kutoa majibu ya uhakika kwasababu ukijibu vibaya watu tunatumia huu ushauri wenu
 
kama karanga na korosho noma mbona huko wanakozilima wasife? Watoto wanakula mpaka leo wamekuwa madingi na ma maza nabado afya Pouwa!
hii logic ni ya hovyo sana! na wabongo wengi wanaitumia sana kuhalalisha vitu vyenye madhara! eti watu wamekula kwa muda mrefu ndio sababu ya kuendelea kutumia! kwanza bongo matumizi ya vitu vingi yanatudhuru bila kujua! kijijini kwa mfano watu wanakufa na magonjwa ya ajabu bila kujua chanzo coz hakuna wataalamu! mimi ningeshauri forum hii tujitahidi iwezekanavyo kuachia wataalam na wengi tutafaidika! mfano mwingine maeneo ya mjini kina mama wamepata biashara ya miogo mibichi wateja wanaamini kabisa kua inaongeza nguvu za kiume na manii!! but kumbe ina madhara makubwa!
 
hii logic ni ya hovyo sana! na wabongo wengi wanaitumia sana kuhalalisha vitu vyenye madhara! eti watu wamekula kwa muda mrefu ndio sababu ya kuendelea kutumia! kwanza bongo matumizi ya vitu vingi yanatudhuru bila kujua! kijijini kwa mfano watu wanakufa na magonjwa ya ajabu bila kujua chanzo coz hakuna wataalamu! mimi ningeshauri forum hii tujitahidi iwezekanavyo kuachia wataalam na wengi tutafaidika! mfano mwingine maeneo ya mjini kina mama wamepata biashara ya miogo mibichi wateja wanaamini kabisa kua inaongeza nguvu za kiume na manii!! but kumbe ina madhara makubwa!

mkuu hebu tudokeze kidogo hapo kwenye MIHOGO kwan sie wengi tunaitafuna sana bila kujua mathara yake.

Hii ndo raha ya jf bana
 
Kama ilivyokuwa kwa korosho, karanga nazo ni chanzo kizuri cha mafuta mazuri aina ya ‘monounsaturated fats' ambayo yanatiliwa mkazo kutumiwa kwa afya ya moyo. Kwa mujibu wa utafiti, watu wanaokula karanga mara kwa mara hupunguza hatari ya kupatwa na ugonjwa wa moyo (cardiovascular heart disease) kwa asilimia 21.

Aidha, katika taarifa iliyochapishwa kwenye jarida moja la Uingereza la ‘Journal of Nutrition' ambako kuna matokeo ya taarifa nne za utafiti, imeonesha pia watu wanaotumia karanga mara kwa mara, angalau mara nne kwa wiki, hujipa kinga nyingine dhidi ya ugonjwa wa moyo (coronary heart disease) kwa zaidi ya asilimia 37.
source MRISHO'S BLOG: Zijue faida za ajabu za karanga!
 
hii logic ni ya hovyo sana! na wabongo wengi wanaitumia sana kuhalalisha vitu vyenye madhara! eti watu wamekula kwa muda mrefu ndio sababu ya kuendelea kutumia! kwanza bongo matumizi ya vitu vingi yanatudhuru bila kujua! kijijini kwa mfano watu wanakufa na magonjwa ya ajabu bila kujua chanzo coz hakuna wataalamu! mimi ningeshauri forum hii tujitahidi iwezekanavyo kuachia wataalam na wengi tutafaidika! mfano mwingine maeneo ya mjini kina mama wamepata biashara ya miogo mibichi wateja wanaamini kabisa kua inaongeza nguvu za kiume na manii!! but kumbe ina madhara makubwa!

Mihogo mibichi madhara yake nini??
 
Mihogo ikutegemeana na mahali ilipolimwa inaweza kuwa na sumu cyanide. Hii dio sababu haswa wachaga hawali mihogo kwani ule udongo wa kwao wenye volcanic nature una cyanide nyingi. Haswa mihogo mibivhi ni hatari zaidi.
Mihogo ina athari gani?
 
Mihogo ikutegemeana na mahali ilipolimwa inaweza kuwa na sumu cyanide. Hii dio sababu haswa wachaga hawali mihogo kwani ule udongo wa kwao wenye volcanic nature una cyanide nyingi. Haswa mihogo mibivhi ni hatari zaidi.

Nashukuru
 
Kila kitu kina faida zake mwlini vyakula na mbegu. Pamoja na matunda hivyo watu wengi wanakula mpaka wasikie vinaongeza nguvu za kiume mm nakula tu siangalii kam vinaongeza au hapn muhimu kuupa mwili vitu asili nipate nguvu
 
Back
Top Bottom