Nini Madhara Ya Kufanya Mapenzi Mara Kwa Mara!


ha ha ha pole sana mdada jichue ukiona umezidiwa.
 
hala hala ka mna houseboy lazma siku yakushinde
 
 
 

dah.mkuu maneno yako yamenifurahisha sana.nadhani jamaa yetu amekuelewa.
 
Quran inasema jiepisheni na wanawake wakiw ktk siku za hedhi kwani huo ni uchafu ,
Madhara
1.kuchoka kimwili
2.utazeeka mara moja
3.kukonda na kupata matatizo ya damu
4.kupata busha au kiboga
Nk

Hata biblia inakataza kum do mwanamke akiwa anga za juu.
 
Ahsanten Kwa Ushaur Wenu,labda Mngenipa Mbinu Za Kuepukana Na Tatzo Nlonalo,kwan Nashndwa Kabisa Kuacha Na Cku Zngne Wife Huwaga Anachukia,namlazimisha Tu,kwan Cwez Bila Kusex,
 
Quran inasema jiepisheni na wanawake wakiw ktk siku za hedhi kwani huo ni uchafu ,
Madhara
1.kuchoka kimwili
2.utazeeka mara moja
3.kukonda na kupata matatizo ya damu
4.kupata busha au kiboga
Nk

Hii ya 4 sina uhakika nayo mkuu
 
Hata biblia inakataza kum do mwanamke akiwa anga za juu.

biblia imekataza lkn kuna wakati mtu anaweza kushauriwa kufanya tendo la ndoa akiwa kwenye period ili aweze kumimbika.
chances za mtu kuconceive akiwa kwenye period ni kubwa sana ingawa watu wengi huwa wanaignore hili.
 

Kilomita 27 au 7?
 
biblia imekataza lkn kuna wakati mtu anaweza kushauriwa kufanya tendo la ndoa akiwa kwenye period ili aweze kumimbika.
chances za mtu kuconceive akiwa kwenye period ni kubwa sana ingawa watu wengi huwa wanaignore hili.

Sijui kwanini nimeiona hii thread wakati chai
 
Sijui kwanini nimeiona hii thread wakati chai

kwan wewe usiku hukupata dose yako??
kama sivyo basi maliza chai rudi ulingoni kalibeneke.
yanini bana kufa wakati suluhu unayo??
hakya mbuzi tena na haka kabaridi lazima mtu ahame chumba lol!
 
Acha uchafu....lol kidini na ata kiafya hairuhusiwi kumuingilia mkeo akiwa katika hedhi,,..what a dirty,,..?????
 
Cwez Kuacha Jaman,vingnevyo Ntamfte Mke Mwenye Pepo La Ngono Km Mie,maaana!
 
Kama mke wako anaridhika na hiyo hali haina haja kutafuta njia coz nayeye anafurahi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…