Nini madhara ya kula matunda yenye acid na maziwa?

Nini madhara ya kula matunda yenye acid na maziwa?

princebujonde

Senior Member
Joined
Jan 7, 2013
Posts
198
Reaction score
55
Wana JF Doctor, kuna meal culture imejitokeza sehemu yetu ya kazi mda wa luch mtu unawekewa maziwa fresh(cultured) na tunda la chungwa. nachojua mimi chungwa lina citric-acid na maziwa yana protein sasa je hakuna madhara kiafya kula mchanganyiko huo kwa pamoja..... please wataalam wa mambo ya vyakula mtujuze mana tupo njia panda.
 
Chungwa ni acid na maziwa ni base.. sioni tatizo.. kwani physiologically acid huwa ina kuwa absorbed katika stomach..

Maziwa kama base inakwenda ku netralize..

Physiologically u can neutralize weak acid na weak base.. but not strong base with strong acid or strong base with weak acid.

Mlo huo ni perfect kwa mtu mwenye vidonda vya tumbo..

Sababu chakula kina trigger release ya acid inside stomach na unapokula chungwa ambalo ni acid kama ni mgonjwa wa vidonda vya tumbo u will make it worse.. maziwa yanasaidia for neutralization..

All in all huo mlo hauna tatizo mkuu
 
Lakini kula matunda yenye acid nyingi over prolonged duration kunaweza kukuletea gout. Mimi imeshawahi kunitokea
 
da kumbe matunda nayo yana acid. soda kisukari. bia kisukari. tunywe nini?
 
mzizi mkavu.....kindly come here to answer this qn for the benefit of all:wave:
 
Back
Top Bottom