Nimesema hivyo kwa sababu asilimia kubwa watashauri aende hospitali akacheki sukari... na kama alishaenda kucheki akaambiwa hakuna tatizo, then the solution must come from a different angle (like personal experience) if there is any solution out there. I wish you all the best.
Amesema mdogo wake itabidi ampeleke hospitali kupima atamshauri atakubali ushauri wake? wakati yeye anajiona mzima kwa kunywa maji mengi namna hiyo? Mkuu Tujalie wewe ndio mdogo wako utaweza kumshauri aende hospitali? je akikwambia haumwi na kitu?Ampeleke hospitali au amshauri kwenda hospitali? mwanaume/mwanamke wa miaka 45 ambaye hayuko hoi kwa ugonjwa anapelekwa hospitali?
Amesema mdogo wake itabidi ampeleke hospitali kupima atamshauri atakubali ushauri wake? wakati yeye anajiona mzima kwa kunywa maji mengi namna hiyo? Mkuu Tujalie wewe ndio mdogo wako utaweza kumshauri aende hospitali? je akikwambia haumwi na kitu?
Mbona siwaelei, mimi ni 88kg na sina kisukari wala presha ila nakunywa maji 4.5l per day yaani chupa 3 za maji ya kilimanjaro makubwa. Nishazoea na imekua sehemu yangu ya maisha kunywa maji mengi maana sinywi kinywaji chochote zaidi ya maji.
Kusema kunywa maji mengi ni kisukari siwaelei na sifanyi kazi ngumu.
Unatakiwa Kunywa Maji kulingana Na Uzito wako si Kubugia Maji Tu.. Utakuwa Unakojoa Na Madini ya Mwili Sasa
Mfano Mwenye Uzito wa 60kg Anatakiwa Kunywa Maji lita 2.5 asizidi hapo..
Kunywa maji angalau lita tatu kwa siku hasa kwa wenye uzito wa kawaida unaoendana na urefu wao, ukinywa maji mengi kupitiliza unazifanya figo ziwe overworked na hivyo unaweza kuleta madhara kwa figo hapo baadae. Kunywa maji mengi hakuhusiani moja kwa moja na ugonjwa wa kisukari...
Body mass Index(BMI) google hilo neno utapata formula hapoMkuu kuna ile kanuni ambayo inasema uzito wako unatakiwa uendane na urefu wako, kama unaifahamu pliz naomba unisaidie kuniambia. Natanguliza shukran zangu za dhati
Mkuu kuna ile kanuni ambayo inasema uzito wako unatakiwa uendane na urefu wako, kama unaifahamu pliz naomba unisaidie kuniambia. Natanguliza shukran zangu za dhati
BMI, Body Mass Index! Itafute hiyo then jaza mass yako na urefu wako utajua kila kitu...
Yes Ni dalili Maana Solute(glucose) ikizidi mwilini unahitaji Solvent(maji) ku neutralize Ndo maana anakunywa Maji mengi...
Kunywa Maji kiasi Hata Wataalam wanashauri Kwa Uzito Kama Huo Usipitishe Lita 3.5 kwa Siku ..
Kwahiyo ni vyema Ukanywa Maji si zaidi ya Hapo pia Maji yasiwe Tupu.. Yaan maji kama Maji Changanya Kidogo na Chumvi yawe kama Oral ili kubalance Ions za Mwili..
Wengine Wataongeza
Kama kashauriwa na ndodi tutarajie kumpoteza soon. Kama sivyo apime sukari au afike wilolesi dispensary mafinga nitamtibu
BMI, Body Mass Index! Itafute hiyo then jaza mass yako na urefu wako utajua kila kitu...