Nini madhara ya mustabation kwa mwanaume?

Madhara yake ni upungufu wa. Nguvu za Kiume acha mara moja ni sumu kuliko bangi wanazotumia mateja wa mwananyamala.
 
Kila kiungo kina kazi yake maalum!! Mwenyezimungu Mtukufu hakuumba Mkono au Kifaa au kiungo chochote kwa ajili ya kutosheleza Matamanio ya Mwanaume zaidi ya Uke!!
Jaribio lolote la kufanya hivyo ni Machukizo, Maasi na Majuto kwa Allah S.W
Upande mwingine Kujichua kunalegeza Misuli ya Uume kwa Mwanaume hivyo kushindwa kutekeleza jukumu lake la Ki ada ikibidi.
kisaikolojia Matamanio na hamu ya kuwa na Mwanamke hupungua hivyo kuleta Usumbufu kwa Mkeo.

N.B Zinaa ni Uchafu!
 
Nina mwaka wa tisa sijui nyapu ni nini nyeto na mimi mimi na nyeto na sijaona madhara yoyote wala sijawahi kuwaza kupima gonjwa lolote la zinaa
 
Nini madhara ya mustabation kwa mwanaume? Naomba kujua
Madhara ya Musturbation yalishajadiliwa sana hapa jamvini tena kwa kirefu na ni zaidi ya mara moja search hizo threads utapata mkuu.
 
Nina mwaka wa tisa sijui nyapu ni nini nyeto na mimi mimi na nyeto na sijaona madhara yoyote wala sijawahi kuwaza kupima gonjwa lolote la zinaa
Mkuu wewe una sifa zote za kua mwenyekiti wa kudumu wa chaputa.
 
mi napiga nyeto huu mwaka wa 3 sioni madhara yyt
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…