Nini madhara ya talaka katika jamii?

Yoda

JF-Expert Member
Joined
Jul 22, 2018
Posts
48,475
Reaction score
70,102
Hivi talaka zina hasara au faida zaidi katika jamii?
 
Hasara ninayoiona mimi inahusu watoto zaidi kama wanandoa walipata watoto,

Watoto itabidi wakaishi na mzazi mmoja wapo kati ya Baba au Mama,

So,hapo watakosa mapenzi ya mzazi mmoja,malezi bora kwa watoto ni kulelewa na wazazi wote wawili,

Taifa bora hujengwa kuanzia ngazi ya familia.
 
Sasa kama wazazi wanagombana kila siku, nyumbani na makelele tu au baba anampiga mama je talaka haiwezi kuwa suluhisho bora zaidi hata kwa watoto kuliko familia ya aina hiyo?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…