Nini Mantiki ya Kurudi kwa Dalali Kwanza Kabla ya Kumalizana na Mwenye Nyumba?

Nini Mantiki ya Kurudi kwa Dalali Kwanza Kabla ya Kumalizana na Mwenye Nyumba?

Kalamu Nzito

JF-Expert Member
Joined
Aug 13, 2015
Posts
349
Reaction score
805
Habari gani ndugu zangu?

Nahitaji kufahamu, unapotafuta chumba/nyumba ya kupanga, kuna mantiki gani ya kuonana na Dalali kwanza hata kama umeshaonana na mwenye nyumba?

Sijui utaratibu kwa mikoa mingine, lakini kwa Dar es salaam unaweza kuonana na mwenye nyumba, na akakwambia kabisa vyumba/ nyumba ipo ila tafuta dalali kwanza. Sasa mantiki ya hili ni nini? Kwanini tusimalizane moja kwa moja na muhusika kama nimeweza kumfikia mwenyewe?
 
MANtiki YAke Ni Ya MAn-tiCk,MWeNYe NYUMba AliShakAbidhi ChUMba kWa dAlAli,Muda MWiNGine dAlAli ANat0a PEsa kUShika ChUMba. ..
HiVYo UNarUdiShWa kWa dAlAli ili tu MCh0NGo UtiCk PEsa iliWe.. .
NitAliShUGhUlikia hili Siku NikiWa Mtu MkUbWa sERika-liNi .. .
 
Back
Top Bottom