Nini maoni yako juu ya uchaguzi Uganda?

Nini maoni yako juu ya uchaguzi Uganda?

Genchi

Member
Joined
Aug 19, 2014
Posts
94
Reaction score
45
Ukiangalia baadhi ya matukio ya kisiasa Africa utabaki kujiuliza maswali mengi yasiyo na majibu. Baada ya Uchaguzi wetu Tanzania kuleta taharuki nyingi leo wote tunaangazia uganda kinachoendela.

Ukiwa kama mdau wa siasa una maoni kuhusu uchaguzi mkuu wa Uganda?


Screenshot_20210115-203028.jpg
Screenshot_20210115-142716.jpg
 
Wao wana ka-uafadhali.

Hawajajipa wabunge wote (Chama Cha M7)

Mpaka sasa kura za Urais Bob Wine ana 34.%

Kama ni mgonjwa, watu wanafatijiana kwa kuambiana hali ya mgonjwa si mbaya, anaelekea kutengemaa.
 
Uchaguzi umekuwa huru ba wa haki .mvuta bang mmoja amepigwa chini .m7 amebaki na serkali kuwatoa waganga katika umaskini
 
Hakukua na uchaguzi hapo ilikua ni igizo lingine la Afrika Mashariki la kuurudisha ufalme madarakani...
 
Wapinzani na viongozi wa Africa hakuna tofauti iwe Kenya iwe Tz iwe Uganda hata iwe wapi Wapinzani wataendelea kulalamika hivyo hivyo bila kufika mwafaka
 
Vijana wa JF ambao hamfuatilii hizi mambo za siasa mkiona bandiko la siasa muwe mnakaa mbali, sababu ni kutokana na comments zenu ambazo zinaonyesha ni 😇 kichwani.
 
Back
Top Bottom