Nini maoni yako juu ya uwepo wa mavazi au viatu visivyo na jinsia Tanzania?

Nini maoni yako juu ya uwepo wa mavazi au viatu visivyo na jinsia Tanzania?

jingalao

JF-Expert Member
Joined
Oct 12, 2011
Posts
36,197
Reaction score
29,717
Inawezekana nimezeeka sana au nimepitwa na wakati.

Je ni yapi maoni yako juu ya uwepo wa mavazi au viatu visivyo na jinsia yaani akivaa mwanaume ni sawa na akivaa mwanamke ni sawa.

1728230871064.png
 
Inawezekana nimezeeka sana au nimepitwa na wakati.
Je ni yapi maoni yako juu ya uwepo wa mavazi au viatu visivyo na jinsia yaani akivaa mwanaume ni sawa na akivaa mwanamke ni sawa.
Weka picha
 
Back
Top Bottom