Nini matumizi fasaha ya neno "sana" na "mno"

Nini matumizi fasaha ya neno "sana" na "mno"

mwachisabwe kibona

Senior Member
Joined
Aug 5, 2014
Posts
116
Reaction score
27
wanajamvi habari? naomba kujua matumizi sahihi ya maneno mno na sana kwa sababu nimekuwa nikipata shida je kila neno ni mbadala wa lenzake au la! mf:amekula sana
au amekula mno kipi ni kiswahili fasaha? nawasilisha
 
Back
Top Bottom