Nini mchango wa Bahari yetu katika pato la Taifa?

Nini mchango wa Bahari yetu katika pato la Taifa?

mpimamstaafu

JF-Expert Member
Joined
Jul 18, 2018
Posts
4,445
Reaction score
4,707
Mimi ni mwananchi wa kawaida, lakini nimekuwa nafuatilia Vyanzo mbalimbali vya Mapato kwa Taifa letu.Tunaona Mbuga zetu zinavyokusanya, Madini yetu, Maliasili, Kilimo Anga n.k.lakini sijaona Bahari yetu pamoja na ukubwa wake.

Samaki wanauzwa walio wengi wanatoka nje ya nchi na wavuvi wetu wanavua kiasi kidogo sana ambacho kodi wanazotozwa ni ushuru mdogo wa Halmashauri.

Najiuliza kwanini Serikali yetu inashindwa kufanya Uwekezaji Mkubwa katika Bahari yetu ili hao samaki kutoka nje wakome?

Kwanini Serikali isinunue Meli zake kubwa za Uvuvi kama ilivyofanya kwenye Ndege? Naamini ushauri wa Watanzania viongozi wetu wataufanyia kazi Tanzania ni yetu sote.
 
Hii nchi nadhan hatukosi chochote isipokua human resource. Nguvu kazi tulizonazo hazina weledi na maarifa. Tuna vizazi kama 700 ivi Tz kuwa na maendeleo sawa na nchi za ulaya, china na marekan na japan
 
Back
Top Bottom