Mi mi
JF-Expert Member
- Jul 14, 2024
- 2,748
- 5,112
Nini msingi wa sisi kupigania uhuru ? Kama uhuru wenyewe haupo ?
Bora wale wazee wa kiislam wangeendelea kunywa tu kahawa na kuachana na yule kijana wa Butiama.
Ingeelewaka moja kuwa tupo kwenye ukoloni wa mzungu mpaka leo.
Ilikuwa haina haja yule kijana wa Butiama kupokelewa kwa mikono miwili alikuwa ni tatizo na matokeo ya matatizo yake yanazidi kuonekana.
Bora wale wazee wa kiislam wangeendelea kunywa tu kahawa na kuachana na yule kijana wa Butiama.
Ingeelewaka moja kuwa tupo kwenye ukoloni wa mzungu mpaka leo.
Ilikuwa haina haja yule kijana wa Butiama kupokelewa kwa mikono miwili alikuwa ni tatizo na matokeo ya matatizo yake yanazidi kuonekana.