mazaga one
JF-Expert Member
- Apr 16, 2015
- 2,514
- 4,042
- Thread starter
-
- #21
Asante kwa ushauri wako Mkuu.Mimi sidhani kama ni sahihi kumjaji mtu eti kwasababu ya kabila lake, kwasababu hakuna mtu yeyote aliyefanya juhudi yoyote kuwa na hilo kabila alilonalo ni inatokea tu unawazaliwa na wazazi ambao ni wachaga au wazaramu na automatically na wewe unakua hiyo kabila.
Maoni yangu muoe huyo dada kama ninyi wenyewe mmependana na kuridhiana. Mimi nadhani kuna umri unafika wazazi wako wanatakiwa kuwa watu wa kukushauri na kuonyesha njia, lakini sio wa kukutolea maamuzi. Maisha ni kuchagua na si kuchaguliwa.😎
Wazazi wakikuonya sana juu ya mwanamke fulani na wewe ukafosi 90% utakuja pata tabu kubwa na utakosa pa kukimbilia, wazazi ni miungu wa duniani humu..mimi nishawapelekaga wanawale wawili home wakapigwa chini hawakutoboa kwenye vetting..kwaio kupendana kwenu sio tija...kivile...Mimi sidhani kama ni sahihi kumjaji mtu eti kwasababu ya kabila lake, kwasababu hakuna mtu yeyote aliyefanya juhudi yoyote kuwa na hilo kabila alilonalo ni inatokea tu unawazaliwa na wazazi ambao ni wachaga au wazaramu na automatically na wewe unakua hiyo kabila.
Maoni yangu muoe huyo dada kama ninyi wenyewe mmependana na kuridhiana. Mimi nadhani kuna umri unafika wazazi wako wanatakiwa kuwa watu wa kukushauri na kuonyesha njia, lakini sio wa kukutolea maamuzi. Maisha ni kuchagua na si kuchaguliwa.😎
AiseeWazazi wakikuonya sana juu ya mwanamke fulani na wewe ukafosi 90% utakuja pata tabu kubwa na utakosa pa kukimbilia, wazazi ni miungu wa duniani humu..mimi nishawapelekaga wanawale wawili home wakapigwa chini hawakutoboa kwenye vetting..kwaio kupendana kwenu sio tija...kivile...
Kama ni mchaga wa machame umekwisha we msikilize tu mzazi hapo uenda kunajambo hapoMchaga
Chato kuna Wasambaa tangu lini?Mimi msambaa wa Chato