Kuna uzi nilileta juu ya maisha yangu kuwa magumu na bila msaada
Sasa kuna kazi nilisema ninafanya sikuiacha niliendelea nayo na nimelipwa pesa yangu ila sina mpango wa kuiacha nataka niendelee nayo huku nafanya Biashara nyinginee
Wakuu hapa nina laki 2 kamili nataka niizungushe kwenye Biashara ya nguo angalau nisikose kabisa pesa ya kula
Nimewaza nifanye Biashara ya mtumba nguo za kike au nguo za watoto wadogo wa kiume
Nguo za kike nazotaka ni zile za fashion za wadada wachuo vigauni vya kichuochuo yaani wateja wangu wawe wanafunzi wa vyuoni ila niifanye kwa njia ya online
Naombeni ushaurii na namna ya kupata soko la kununua hizo nguo kwa bei nzuri
Au Kama kuna mwenye ushaurii wa Biashara nzuri kwa mtaji huo wa laki 2
Sasa kuna kazi nilisema ninafanya sikuiacha niliendelea nayo na nimelipwa pesa yangu ila sina mpango wa kuiacha nataka niendelee nayo huku nafanya Biashara nyinginee
Wakuu hapa nina laki 2 kamili nataka niizungushe kwenye Biashara ya nguo angalau nisikose kabisa pesa ya kula
Nimewaza nifanye Biashara ya mtumba nguo za kike au nguo za watoto wadogo wa kiume
Nguo za kike nazotaka ni zile za fashion za wadada wachuo vigauni vya kichuochuo yaani wateja wangu wawe wanafunzi wa vyuoni ila niifanye kwa njia ya online
Naombeni ushaurii na namna ya kupata soko la kununua hizo nguo kwa bei nzuri
Au Kama kuna mwenye ushaurii wa Biashara nzuri kwa mtaji huo wa laki 2