Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
wana JF, ni mambo gani ambayo sipaswi kuyafanye nikiwa 'outing' kwa mara ya kwanza na totoz??
wana JF, ni mambo gani ambayo sipaswi kuyafanye nikiwa 'outing' kwa mara ya kwanza na totoz??
Kujisifia na kuongea sana haitakiwi hapo utashusha P yako
thanks, lkn nitayajuaje asiyopenda kufanyiwa? kumbuka ndio first date!
point to note!:dkujisifia kweli noma, ila kuongea inategemea n'tu na n'tu. Kuna ma-she wengine wanapenda stori kinoma! zd nilimpataga kwa sababu ya kuchonga sana.
HIVI WEWE NI DINA HUYU HUYU NINAEMFAHAMU MIMI?ai mini dina-wa-makambako?S.O.PNa jitahidi uwe wewe kama wewe, ukijishaua mtu wa matawi na yeye kama ana mtazamo hasi, atakukomesha mbele ya safari. Utauza mpaka suruali kumpendezesha!
Acha kujipaisha bila sababu, me this..me that...when I was in..., huhitaji kujinadi vitaonekana tu kama ni vya kuonekana.
Na jitahidi uwe wewe kama wewe, ukijishaua mtu wa matawi na yeye kama ana mtazamo hasi, atakukomesha mbele ya safari. Utauza mpaka suruali kumpendezesha!
Acha kujipaisha bila sababu, me this..me that...when I was in..., huhitaji kujinadi vitaonekana tu kama ni vya kuonekana.
point to note!:d