Si kila demu anataka janaume pole!! Cha kwanza unatakiwa ujue huyo demu unamwitaji kwa ajiri gani, je ni 1 night stand or for two weeks or wakuchapa unapohitaji au una nia ya ku build life time relatioship!!
Ukijua unamuhitaji kwa sababu na mipango gani then itakuwa rahisi kwako ku strategise. Mfano, unaenda na demu out ambaye una nia ya kumchapa tu na kummwaga, na unaona kabisa anapenda matawi ya juu, jifanye mshua na huna shida ndogo ndogo!! Ikibidi kama anaki starlet mwahidi utamnunulia RAV 4 - 3 doors, mpeleke mbali na kwao kwenye kiwanja cha maana, mle raha mpaka late night, afu jifanye huwezi drive coz its too late!! Mchezo utakuwa umeisha, utalamba asali na kutambaa!!
Kama ni demu unaye intend ku build long time relationship, strategy itakuwa tofauti kulingana na aina ya demu na social class yake!!!
Wengine tulishawahi kwenda mpaka kwa Mwakasege Biafra kwenye mahubiri ili mradi tu tung'oe mzigo!!! Wadau its not necessary that you should be yourself when you need a cute chick!!
You be youself you lose her!! So be strategic