Enter Passcode
JF-Expert Member
- Mar 1, 2024
- 479
- 942
Loth hema ?Ugali ndio chakula kinachoshibisha vizuri na kukaa muda mrefu tumboni kuliko vyakula vingine. Tule ugali kwa shibe bora
Asubuhi jamaa anapiga chapati 3 na supuu (au maini), kisha pepsi baridiiii...... hadi jioni ndo anakula matunda na kulalaUgali ndio chakula kinachoshibisha vizuri na kukaa muda mrefu tumboni kuliko vyakula vingine. Tule ugali kwa shibe bora
ugali ni mzito kuliko chapati, hasa ugali wa uwele unakaa tumboni muda mrefuAsubuhi jamaa anapiga chapati 3 na supuu (au maini), kisha pepsi baridiiii...... hadi jioni ndo anakula matunda na kulala
Chapati vs Ugali, nani zaidiii?
naamLoth hema ?
Vyote ni wanga mkuuAsubuhi jamaa anapiga chapati 3 na supuu (au maini), kisha pepsi baridiiii...... hadi jioni ndo anakula matunda na kulala
Chapati vs Ugali, nani zaidiii?
Asante kwa rejea mkuuUlifikiria nini kutumia Avatar unayoitumia sasa?
Ulifikiria nini kutumia avatar unayoitumia? Kipi kilikuvutia? Uliwaza nini? Uzi tayari...www.jamiiforums.com
🤣🤣🤣Mmmh ngoja kwanza🤔🤔
Kuna namna mkuu, majina binafsi, kitu apendacho mtu, moment alizopitia n.kItifaki imezingatiwa,
Wakuu, binafsi chanzo cha kutumia id-enter passcode ni shemeji/wifi/mtoto/mjukuu wenu, simu niliijaza pass words mpaka akitaka kufungua app yoyote inamdai aingize codes,
Baada ya kukuta na camera ya simu inamuhitaji code, alishindwa kujifotoa na kunipa jina zuri kama hili [emoji106][emoji1787]
Avatar; huyo ni mmarekani ‘joe dispenza ‘napenda mafundisho yake tu
Kwenu wakuu, tupe uzoefu juu ya id/avatar yako.
Mfano; proton pump, Joseverest, Eveln salt, Depal, to yeye, masai dada. etc..
Nawasilisha!