Frumence M Kyauke
JF-Expert Member
- Aug 30, 2021
- 630
- 1,262
Kuna jambo la kustaajabisha sana kuhusiana ya mikopo, mara nyingi mikopo hailipwi kwa sababu zisizoeleweka na imepelekea baadhi ya watu kuona kuwa mikopo ni matatizo katika maisha yao huku wengine wakidai fedha za mikopo hazina baraka nakadhalika.
Je, wewe una lipi la kuzungumzia juu ya swala hili?
Je, wewe una lipi la kuzungumzia juu ya swala hili?