inasababishwa na mambo mengi, ikiwemo "malabsorption" pale ambapo mtu hawezi kufanya absorption of materials.. pia kuna utofauti katika kufanya absorption ya nutrients kama vitamins,amino acids,fatty ,sugars etc..so content ya feaces ita tofautiana kati ya mtu na mtu.pia hata smell itakua na tofauti
ASANTENI WAKUU HII MADA IMENISAIDIA juu ya INI->JF Doctor Topic: Ugonjwa wa Homa ya Ini (Hepatitis B): Dalili, ushauri wa kinga na tiba yake Nimrod.tzRaelish