Nini sababu ya kuongezeka kwa wagonjwa wa saratani Tanzania?

Nini sababu ya kuongezeka kwa wagonjwa wa saratani Tanzania?

Bushmamy

JF-Expert Member
Joined
Aug 18, 2019
Posts
9,140
Reaction score
15,963
Siku za hivi karibuni kumekua na vifo vingi vinavyohusiana na saratani.

Mwaka jana tulizika ndugu yetu,mwanamke wa umri wa miaka 46 aliyekuwa anasumbuliwa na saratani,aliugu muda mrefu pamoja na maumivu makali.

Juzi kuna kijiji nilienda kuna mama mmoja namfahamu ni mama mtu mzima umri miaka 64 nimeona ana uvimbe sehemu za shingoni kuelekea mdomoni kumuuliza anasema amekwenda hosp. Vipimo vinaonyesha ana saratani kwa hiyo akarudishwa nyumbani hadi sasa yupo nyumbani anasubiri lolote litakalotokea.

Jirani yangu mama mtu mzima ana kansa ya ziwa mwaka wa kumi huu,anasema baada ya vipimo kuonyesha ana saratani alianza kutumia miti shamba na hajawahi kukatwa ziwa lakini hadi leo anatumia miti shamba akiwa anaendelea na shughuli zake kama kawaida.

Rafiki yangu aishie dar es salam mke wake ni mgonjwa wa kitandani sasa,alipata uvimbe kwenda kuutoa kumbe ilikuwa saratani baada ya hapo imeanza kusambaa mwilini, kila wiki ni kwenda kuchoma mionzi na pesa zinaishia huko,watoto wake bado wadogo, yupo hoi kitandani huku akijua nini kinafuata., mumewe muda mwingi ni kulia.

miti shamba gani itakayotibu cancer na watu wakapona maana hata wazungu wameshindwa.

Saratani shkamoo
 
Siku za hivi karibuni kumekua na vifo vingi vinavyohusiana na saratani.

Mwaka jana tulizika ndugu yetu,mwanamke wa umri wa miaka 46 aliyekuwa anasumbuliwa na saratani,aliugu muda mrefu pamoja na maumivu makali.

Juzi kuna kijiji nilienda kuna mama mmoja namfahamu ni mama mtu mzima umri miaka 64 nimeona ana uvimbe sehemu za shingoni kuelekea mdomoni kumuuliza anasema amekwenda hosp. Vipimo vinaonyesha ana saratani kwa hiyo akarudishwa nyumbani hadi sasa yupo nyumbani anasubiri lolote litakalotokea.

Jirani yangu mama mtu mzima ana kansa ya ziwa mwaka wa kumi huu,anasema baada ya vipimo kuonyesha ana saratani alianza kutumia miti shamba na hajawahi kukatwa ziwa lakini hadi leo anatumia miti shamba akiwa anaendelea na shughuli zake kama kawaida.

Rafiki yangu aishie dar es salam mke wake ni mgonjwa wa kitandani sasa,alipata uvimbe kwenda kuutoa kumbe ilikuwa saratani baada ya hapo imeanza kusambaa mwilini, kila wiki ni kwenda kuchoma mionzi na pesa zinaishia huko,watoto wake bado wadogo, yupo hoi kitandani huku akijua nini kinafuata., mumewe muda mwingi ni kulia.

miti shamba gani itakayotibu cancer na watu wakapona maana hata wazungu wameshindwa.

Saratani shkamoo
Oh! Mtu mzima nilidhani 90+
 
Siku za hivi karibuni kumekua na vifo vingi vinavyohusiana na saratani.

Mwaka jana tulizika ndugu yetu,mwanamke wa umri wa miaka 46 aliyekuwa anasumbuliwa na saratani,aliugu muda mrefu pamoja na maumivu makali.

Juzi kuna kijiji nilienda kuna mama mmoja namfahamu ni mama mtu mzima umri miaka 64 nimeona ana uvimbe sehemu za shingoni kuelekea mdomoni kumuuliza anasema amekwenda hosp. Vipimo vinaonyesha ana saratani kwa hiyo akarudishwa nyumbani hadi sasa yupo nyumbani anasubiri lolote litakalotokea.

Jirani yangu mama mtu mzima ana kansa ya ziwa mwaka wa kumi huu,anasema baada ya vipimo kuonyesha ana saratani alianza kutumia miti shamba na hajawahi kukatwa ziwa lakini hadi leo anatumia miti shamba akiwa anaendelea na shughuli zake kama kawaida.

Rafiki yangu aishie dar es salam mke wake ni mgonjwa wa kitandani sasa,alipata uvimbe kwenda kuutoa kumbe ilikuwa saratani baada ya hapo imeanza kusambaa mwilini, kila wiki ni kwenda kuchoma mionzi na pesa zinaishia huko,watoto wake bado wadogo, yupo hoi kitandani huku akijua nini kinafuata., mumewe muda mwingi ni kulia.

miti shamba gani itakayotibu cancer na watu wakapona maana hata wazungu wameshindwa.

Saratani shkamoo

Kuna mabadiliko mengi sana yanayotokea katika maisha na mazingira yetu.

Mabadiliko ya hali ya hewa na tabia ya nchi.

Mitindo ya maisha kuanzia ulaji wa vyakula, matumizi ya vinywaji vya aina mbalimbali, matumizi ya pombe na sigara nk.
 
Siku za hivi karibuni kumekua na vifo vingi vinavyohusiana na saratani.

Mwaka jana tulizika ndugu yetu,mwanamke wa umri wa miaka 46 aliyekuwa anasumbuliwa na saratani,aliugu muda mrefu pamoja na maumivu makali.

Juzi kuna kijiji nilienda kuna mama mmoja namfahamu ni mama mtu mzima umri miaka 64 nimeona ana uvimbe sehemu za shingoni kuelekea mdomoni kumuuliza anasema amekwenda hosp. Vipimo vinaonyesha ana saratani kwa hiyo akarudishwa nyumbani hadi sasa yupo nyumbani anasubiri lolote litakalotokea.

Jirani yangu mama mtu mzima ana kansa ya ziwa mwaka wa kumi huu,anasema baada ya vipimo kuonyesha ana saratani alianza kutumia miti shamba na hajawahi kukatwa ziwa lakini hadi leo anatumia miti shamba akiwa anaendelea na shughuli zake kama kawaida.

Rafiki yangu aishie dar es salam mke wake ni mgonjwa wa kitandani sasa,alipata uvimbe kwenda kuutoa kumbe ilikuwa saratani baada ya hapo imeanza kusambaa mwilini, kila wiki ni kwenda kuchoma mionzi na pesa zinaishia huko,watoto wake bado wadogo, yupo hoi kitandani huku akijua nini kinafuata., mumewe muda mwingi ni kulia.

miti shamba gani itakayotibu cancer na watu wakapona maana hata wazungu wameshindwa.

Saratani shkamoo

Maelezo zaidi: BONYEZA HAPA!
 

Attachments

  • Screenshot_20250130_221935_Facebook.jpg
    Screenshot_20250130_221935_Facebook.jpg
    296.1 KB · Views: 4
  • Screenshot_20250130_221959_Facebook.jpg
    Screenshot_20250130_221959_Facebook.jpg
    339.5 KB · Views: 3
  • Screenshot_20250130_222012_Facebook.jpg
    Screenshot_20250130_222012_Facebook.jpg
    348.2 KB · Views: 5
  • Screenshot_20250130_222020_Facebook.jpg
    Screenshot_20250130_222020_Facebook.jpg
    362.2 KB · Views: 6
  • Screenshot_20250130_222039_Facebook.jpg
    Screenshot_20250130_222039_Facebook.jpg
    390.6 KB · Views: 6
  • FB_IMG_1738264846353.jpg
    FB_IMG_1738264846353.jpg
    24.6 KB · Views: 4
  • FB_IMG_1738264852774.jpg
    FB_IMG_1738264852774.jpg
    28.3 KB · Views: 5
  • FB_IMG_1738264849975.jpg
    FB_IMG_1738264849975.jpg
    65.8 KB · Views: 4
Back
Top Bottom