Nini sababu ya kutokutokomea ugonjwa wa UKIMWI TANZANIA

Moss B

Member
Joined
Apr 13, 2013
Posts
54
Reaction score
4
ieleweke kuwa ugonjwa wa ukimwi umekuwa ugonjwa maarufu sana ulimwenguni na hasa nchi zetu za kiafrika na kuonekana kukua kwa kasi sana afrika kuliko nchi za magharibi!unafikiri ni kwanini nchi za africa znaongoza kwa UKIMWI KULIKO WENZETU WA MAGHARIBI?
 
1. Lishe duni
2. Ulaji wa vyakula na vinywaji vya hovyo
3. Ukosefu wa elimu ya lishe
4. Mazingira mabovu i.e mbu, kunguni, vumbi, nyumba mbovu
5. Chakula kichache i.e unakula mara 1 au 2 au 3 tu kwa siku wakati magharibi wanakula mara 5 kwa siku
6. Mifadhaiko/stress
7. Elimu duni
8. Kuamini kila tunachoambiwa na daktari bila hata kuuliza kwanini
9. Elimu ndogo ya uzazi wa mpango
10. Rasilimali nyingi za thamani tulizonazo i.e madini, ardhi, misitu, asali, gesi, etc
11. Kutokufanya mazoezi
12. Ukosefu wa supermarkets
13. Chanjo mbalimbali
14. Unywaji pombe za kienyeji bila kula chakula
15. Kilimo cha jembe la mkono
16. Kupendelea zaidi ugali wa sembe badala ya ugali wa dona

Nimeongeza:
17. Huduma mbovu za afya
8. Ukosefu au upatikanaji usiowakuridhisha wa maji salama (kumbukeni waMarekani walivyoonywa na mamlaka zao wakati wa ziara ya Barack Obama kuwa watakapokuwa nchini wasijaribu kunywa maji mengine isipokuwa ya kwenye chupa).

nitaendelea tena
 
Hizi ni hypotheses ama ndo facts?
Yaani tunahitaji supermarkets ili tutokomeze ukimwi?!
 
Ndiyo mkuu, bila supermarket magonjwa mfumuko hayatakaa yatuishe, mfumo wetu wa masoko kwa namna moja au nyingine unachangia sisi kuuguwauguwa tofauti na wenzetu. Hizi ndiyo fact mkuu, ukikutana na zingine ujuwe hizo ndiyo hypothesis.

Nimeongeza nyingine 2.

Hizi ni hypotheses ama ndo facts?
Yaani tunahitaji supermarkets ili tutokomeze ukimwi?!
 
Ukitaka kujuwa kama sehemu fulani watu wanadinyana zaidi au la, angalia idadi ya watu waliopo. Nitakuletea takwimu, hili halina ubishi.

Aaaah wapi. Wale wanapenda kulambanalambana tu. Kwenye 'main menu' wazembe!
 
Ukiyasoma na kuyaelewa yale masharti au maagizo ambayo wagonjwa wa UKIMWI hupewa, utaona kuwa ndiyo hayo hayo ambayo mtu mwingine yeyote hata asiyeumwa ukimwi anatakiwa ayaishi kila siku. Na utaona kwa anayeyafuata na kuyazingatia anaishi miaka mingi kuliko anayeenda kinyume.

Kwa kifupi ni kuwa mazoezi ni mhimu kwa afya ya mwili kama kilivyo chakula au maji. Kula tu bila mazoezi ni kujikaribishia maradhi kibao ambayo mwisho wa siku yanaweza kuathiri kinga yako ya mwili kufanya kazi yake vizuri. Mazoezi huongeza kinga ya mwili, hupunguza stress/mfadhaiko, huongeza thamani ya chakula mwilini na kukuacha na afya imara muda wote.

Kumbe hata kutokufanya mazoez unaweza kupata ukimwi??
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…