Illuminata Rodgers
JF-Expert Member
- Nov 25, 2015
- 2,845
- 2,024
Hellow doctors
Nini husababisha kutokutoka kwa maziwa kwa mama anaenyonyesha ikiwa mwanzo maziwa yalikua yanatoka vzuri tu,na anakula ipasavyo..maana friend of mine now ni siku ya tatu analalamika maziwa hayatoki nakula anakula ipasavyo!tunaomba msaada wenu na kipi kifanyike ili maziwa yatoke?maana mtoto analia hadi anakauka kwa kukosa maziwa.
Nini husababisha kutokutoka kwa maziwa kwa mama anaenyonyesha ikiwa mwanzo maziwa yalikua yanatoka vzuri tu,na anakula ipasavyo..maana friend of mine now ni siku ya tatu analalamika maziwa hayatoki nakula anakula ipasavyo!tunaomba msaada wenu na kipi kifanyike ili maziwa yatoke?maana mtoto analia hadi anakauka kwa kukosa maziwa.