The more unanyonyesha ndo maziwa yanazidi kutoka hypothalamus hapo.
Kuna maradhi pia yanashambulia maziwa ya mama na kuzuia maziwa kutoka,Mastitis,breast abscess/majipu haya,galactocele,breast cyst na pia homa kali.
Vidonge vya uzazi wa mpango hasa vile viko na Oestrogen hii hormone ipo na tabia ya kukausha maziwa not only pills but also njia nyingine za uzaz zenye oestrogen hormone.
Mawazo yaliyopitiliza/stress/anxiety nayo huchangia.
Kufanya kazi ngumu hasa za kutoka jasho huchangia mama kukosa maziwa.
Kutokula a well balanced diet.
Mshauri aende hospitali ili kama ni tatizo ni kubwa Mtoto apewe njia nyingine za ulaji.
Sante