Nini sababu ya majibu ya Ultrasound kutofautiana?

Nini sababu ya majibu ya Ultrasound kutofautiana?

crucial

Member
Joined
Jan 24, 2013
Posts
30
Reaction score
2
Habari wadau, sababu ya kupishana kwa majibu ya ultrasound ni nini? Mwanzo yalionyesha EDD n tar 22/10/2015 mimba ikiwa na miez mi4.

Na sasa inaonyesha tar 22/11/2015.

Msaada tafadhari. Asante kwa muda wenu mtakaotumia.
 
Habari wadau,sababu ya kupishana kwa majibu ya ultrasound ni nini? Mwanzo yalionyesha EDD n tar 22/10/2015 mimba ikiwa na miez mi4. Na sasa inaonyesha tar 22/11/2015. Msaada tafadhari. Asante kwa muda wenu mtakaotumia.

hii kitu hata mim naisubiri sana aisee
 
Back
Top Bottom