C crucial Member Joined Jan 24, 2013 Posts 30 Reaction score 2 Sep 16, 2015 #1 Habari wadau, sababu ya kupishana kwa majibu ya ultrasound ni nini? Mwanzo yalionyesha EDD n tar 22/10/2015 mimba ikiwa na miez mi4. Na sasa inaonyesha tar 22/11/2015. Msaada tafadhari. Asante kwa muda wenu mtakaotumia.
Habari wadau, sababu ya kupishana kwa majibu ya ultrasound ni nini? Mwanzo yalionyesha EDD n tar 22/10/2015 mimba ikiwa na miez mi4. Na sasa inaonyesha tar 22/11/2015. Msaada tafadhari. Asante kwa muda wenu mtakaotumia.
Karimu123 JF-Expert Member Joined Aug 3, 2015 Posts 243 Reaction score 114 Sep 16, 2015 #2 crucial said: Habari wadau,sababu ya kupishana kwa majibu ya ultrasound ni nini? Mwanzo yalionyesha EDD n tar 22/10/2015 mimba ikiwa na miez mi4. Na sasa inaonyesha tar 22/11/2015. Msaada tafadhari. Asante kwa muda wenu mtakaotumia. Click to expand... hii kitu hata mim naisubiri sana aisee
crucial said: Habari wadau,sababu ya kupishana kwa majibu ya ultrasound ni nini? Mwanzo yalionyesha EDD n tar 22/10/2015 mimba ikiwa na miez mi4. Na sasa inaonyesha tar 22/11/2015. Msaada tafadhari. Asante kwa muda wenu mtakaotumia. Click to expand... hii kitu hata mim naisubiri sana aisee