Nini sababu ya mshono wa upasuaji kuwasha?

Nini sababu ya mshono wa upasuaji kuwasha?

Nansawa

Senior Member
Joined
Sep 22, 2008
Posts
190
Reaction score
30
Nilifanyiwa upasuaji miaka miwili iliyopita, nimekuwa nikipata hali ya kuwashwa mshono nyakati fulani fulani, ikiambatana na maumivu kiasi.

Je, hii husababishwa na nini na kuna tiba yoyote?
 
Tusubirie wataalamu waje ila mimi nafikiri mara nyingi nyakati za baridi au joto kali kovu kuwasha ni kawaida.
 
Back
Top Bottom