nini sababu ya mtoto mdogo kila anapotaka kucheua analia?

nini sababu ya mtoto mdogo kila anapotaka kucheua analia?

Nansawa

Senior Member
Joined
Sep 22, 2008
Posts
190
Reaction score
30
Nina mtoto wa umri wa miezi minne, kila anaponyonya namlaza began kujaribu kutoa gesi, lakini pamoja na hayo yote ni mara chache sana kucheua bila kulia. Naomba msaada tatizo ni nini? Na nini tiba yake
 
DEar Nansawa, pole kwa mwanao I guess mwanao kwa sasa unampa maziwa peke yake, if yes then angalia vyakula unavyokula wewe pengine vinaaffect content ya maziwa ambayo inamuaffect mtoto.

Kulia wka mtoto wakati wa kucheua hutokana na maumivu anayoyapata wakati huo. So check chakula ulacho wewe mama mtu but kama umeanza kumpa vyakula vingine please kuwa makini na content ya vyakula hivyo au aina ya ingrediants unazotumia meaning aina ya butter ambayo unatumia.

once again pole sana na maumivu yakizidi mpeleke kwa Daktari wa Watoto
 
Back
Top Bottom