Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Alafu hujatest kujaa mbaa kama utaharaWakuu hii ishu imenitokea leo na si mara ya kwanza kubanwa na uharisho nnapopata wasiwasi au habari mbaya
Wataalam hii ipo vipi?
Si useme tu mnaenda kutalii mwezini?Hahahah,mzizi mkavu tusaidia hilo swali, mana hata sisi wanawake tukipata mshtuko hadi tunaingia kwenye ile hali.
Mmmh jaman.... kweli????? Kwann haja Ikushike?? Na wakt ni mpenzi wako..??[emoji15] [emoji15] [emoji15]wengine hata ukiwa unaenda kukutana na mpenzi wako..
haja kubwa inakushika
Halafu bora iwe hewa tu,unaweza kufanya puuuu ukashusha na mzigo wa haja! lahaulah!Au ukajiskia puuuuuuuu[emoji38]
sijui ndo ukipenda sana [emoji23][emoji23][emoji23]Mmmh jaman.... kweli????? Kwann haja Ikushike?? Na wakt ni mpenzi wako..??[emoji15] [emoji15] [emoji15]