Nini sababu za Facebook kublock account ya mtumiaji

Nini sababu za Facebook kublock account ya mtumiaji

Mapensho star

JF-Expert Member
Joined
Jun 30, 2016
Posts
3,052
Reaction score
4,104
Habari za humu wadau natumaini ni wazima kwa ambao awapo vizuri kiafya ama majanga tuendelee kuwaombea heri wamalize mwaka huu salama

Jukwaa hili sijaingia muda mrefu sana nilipata mambo mengi kupitia hapa ya kiufundi kipindi nafanya blogs nawashukuru wote ambao siku mliekuwa mnatoa michango yenu hapa yenye tija hadi nitokea kupaamini sana hapa kipindi hichi ndio nilianza kuiamini pia mitandao inaweza kunipatia kipato

Licha ya hayo yote leo nimekuja na tatizo hili
Mimi naaccount Facebook tangu mwaka 2012 inavitu vingi vya muhimu sana sasa leo asubuhi wakati naingia nikaona account yangu imekuwa blocked na wao wenye Facebook sasa ukisoma maelezo wanasema imekuwa blocked sababu inaonekana kuna mtu mwingine naye pia alikuwa anaitumia account yangu kwa simu nyingine Mimi nashindwa elewa sababu account huwa naitumia kwa simu yangu tu
2021_10_23_13.09.32.jpg
 
It seems like pengine umekiuka terms and rules zao! Kwamba kuna mtu alikuwa anajaribu kuhack account yako Kwa kuingiza taarifa zako mara Kwa mara kitu kilichipelekea kuleta usumbufu Kwa hao Facebook, pengine huo usumbufu sasa ndio mojawapo ya terms and rules zao zilizowekwa kwamba hutakiwi kufanya hivyo!
 
It seems like pengine umekiuka terms and rules zao! Kwamba kuna mtu alikuwa anajaribu kuhack account yako Kwa kuingiza taarifa zako mara Kwa mara kitu kilichipelekea kuleta usumbufu Kwa hao Facebook, pengine huo usumbufu sasa ndio mojawapo ya terms and rules zao zilizowekwa kwamba hutakiwi kufanya hivyo!
Ata Mimi hili nimeshaanza kuliona inawezekana kuna mtu alikuwa anaijua email yangu sasa wakati wa kulogin password akawa anajaribu kukisia mara kwa mara
 
Back
Top Bottom