Nini sababu za muwasho sehemu za siri na maumivu ya kiuno?

moses musa

Senior Member
Joined
Apr 25, 2017
Posts
164
Reaction score
97
Wadau muwasho sehemu za siri zinaweza leta madhara kwa mwanamke?na kiuno kuuma akikaribia hedhi ,anaweza pata ujauzito?wenye hekima msifumbe macho msaada wenu tafadhali
 
na kiuno kuuma akikaribia hedhi ,anaweza pata ujauzito?

Sasa Kuna uhusiano gani kati ya kiuno kuuma/hedhi/ujauzito pasipo kushiriki tendo la ndoa??

Muwasho ukizidi asipojitibu inakuwa hatari zaidi, aende hospital kwa msaada zaidi
 
Wadau muwasho sehemu za siri zinaweza leta madhara kwa mwanamke?na kiuno kuuma akikaribia hedhi ,anaweza pata ujauzito?wenye hekima msifumbe macho msaada wenu tafadhali
Muwasho sehemu za siri ni dalili ya ugonjwa fangasi sehemu za siri.Na kiuno kuuma akikaribia siku zake inaonyesha huyo mwanamke anayo maradhi ya chango la kizazi hajazaa akizaa anaweza kupona.Dawa ya kutibu hayo maradhi ninayo ukihitaji nitafute kwa wakati wako.
Unaweza kunitafuta kwa Mawasiliano Herbalist Dr. MziziMkavu Email barua ya pepe.fewgoodman@hotmail.com What's App na Viber +905344508169 Au Ni add Kwa Facebook tumia jina hili mzizimkavu.
 
Sawa mkuu anaweza beba mimba na hyo hali?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…