Kwanini mnapenda kuja na careof,kwanini usiseme ni mimi mwenye matatizo hayo??? mnabore jama kila mtu oh nina rafiki yangu anatafuta mchumba oh nina rafiki yangu ana maziwa madogo oh mara nina rafiki yangu anatoka na damu kwenye uume khaaaa tumechoka waambie waje wenyewe kufungua account JF ni Bureeeeeeee,Hayo mambo ya careof hatujibu