Nini siri ya nguo na viatu kuwa bei rahisi na ubora wa juu ukiwavizia wale wanaouza kwa kuzitembeza mtaani ?

Nini siri ya nguo na viatu kuwa bei rahisi na ubora wa juu ukiwavizia wale wanaouza kwa kuzitembeza mtaani ?

NetMaster

JF-Expert Member
Joined
Sep 12, 2022
Posts
1,454
Reaction score
4,925
Niliwahi pata kiatu kigumu sana, ni kizuri yani tangu 2020 mpaka sasa kinadunda poa tu, Ajabu ni kwamba hata sikuomba kupunguziwa bei maana kilikuwa elf 15 tu, laiti ningeenda dukani nisingeshangaa ni laki 2 na mtumbani kiwe laki. Mwaka jana nilinunua raba hizi za vic nabaki nashangaa ni vipi imedumu mpaka sasa wakati niliwahi nunua mbili na zilishazitupa kwa kuisha haraka sana,

Pia nina shati 2 niliwahi nunua kwa hao jamaa, hakuna shati lilozidi elf 19 ila nimevaa hadi nimeyachoka, hakuna cha kuchuja wala nini.
 
Ndio Uzi tayari hapo ,nchi Ina vijan wa nao waza ujinga Sana badal ya kufikiri ishu za msingi na zenye manufaa
 
Siri ni kutembeza, au we ulikuwa unataka Siri gani!?

Wale ndio wanao'pick mizigo mara tu Bello linapofunguliwa kwahiyo huwa wanachukia vitu quality vyote.
 
Ndio Uzi tayari hapo ,nchi Ina vijan wa nao waza ujinga Sana badal ya kufikiri ishu za msingi na zenye manufaa
Ungefahamu jinsi mamoderators wanavochinjilia mbali mada zenye akili, aisee wacha vijana wapost hivi vitu, maana Kila ninachokipost wanakipitia kwanza maana nilipost kitu Fulani Cha kufikirisha sana wakakifuta.
 
Niliwahi pata kiatu kigumu sana, ni kizuri yani tangu 2020 mpaka sasa kinadunda poa tu, Ajabu ni kwamba hata sikuomba kupunguziwa bei maana kilikuwa elf 15 tu, laiti ningeenda dukani nisingeshangaa ni laki 2 na mtumbani kiwe laki. Mwaka jana nilinunua raba hizi za vic nabaki nashangaa ni vipi imedumu mpaka sasa wakati niliwahi nunua mbili na zilishazitupa kwa kuisha haraka sana,

Pia nina shati 2 niliwahi nunua kwa hao jamaa, hakuna shati lilozidi elf 19 ila nimevaa hadi nimeyachoka, hakuna cha kuchuja wala nini.
Chief yupo sahih kabisa kwanza tujue kitu kinachoitwa branding sio bidhaa bali mtu ukienda dukani pale upo katika brand ukija kwa hawa wanaotembeza vitu barabaran au wanaohuza vitu barabaran hawana branding alf pia mostly walioko dukani ni kwaajir ya long term profit wakat wale walioko barabara ni kwa ajiri ya short term profit pia mwenye dukan yupo kwa ajir ya maslah na kuwaridhisha wateja wake kwa huduma zake ili waweze kuja siku nyingine lakin yule anayetembeza wapo kimaslahi lkin mostly wanaweza kuhuza kitu kwa bei ya chini tofauti na malengo ya bidhaa walivyoiwekea kuihuza pia hayupo sana kwa ajir ya kuwalejea wateja wake kwa sabb mostly wateja wao huwa ni wale watu anaokutana nao kwa mara ya kwanza tunaweza sema kam ni bahat kununua bidhaa kutoka kwao
 
Back
Top Bottom