Baada ya dr Ndalichako kuondolewa kwa kutoa matokeo ya kweli.
uchaguzi ndugu. kimsingi kufeli kumeongezeka. yaani ni hivi: kipindi cha nyuma mwanafunzi alipaswa apate wastani wa 30. yaani jumla ya maksi za masimo yote gawanya kwa idadi. lakini haya ya leo hata akioata D mbili kila somo, yaani 30@ na mengine yote sufuri hatakuwa GPA ya 0.3 amefahuru. hupo hapo. kama ingetumika wastani >70% wamefeli. Matokeo makubwa sasa ndio hayo.