Hiyo sura ndo wewe mkuu?
Huwa nahisi utakuwa very very cute...
Am back sizzya007;Afu wewe nilikushau, aya its your turn now, whats the story?!
Aaaaaah wapiNahisi kama ulikuwa unampenda ila jamaa akakata tamaa mapema kufukuzia,yaleyale ya mbio za jogoo na mtetea.mtetea kujilaumu kwa kuzidisha spidi
Mi niliamua tu kujiita diva with no intentions. My avator ya beyonce niliipenda colour yake ya chocolate ilinipendeza sana rangi
Kwa kiasi chake so kivileutakua umefanana nae kidogo
I am serious!!! Real serious...
Sio hapa buanaππ
napata picha. Nakumbuka sana muvi yake inaitwa THE BOOK OF ELIGoogle Denzel Washington
Dah very interesting..!! !
Harathony ni muunganiko wa majina mawili ,Haroun na Antony..Antony ni rafiki angu mkubwa sana ktk history ya maisha yangu na tulitumia hilo jina ktk kama nickname yetu "Harathony Boys" kipind hicho tupo shule