Nini suluhisho la kudumu la harufu mbaya ya kinywa?

Nini suluhisho la kudumu la harufu mbaya ya kinywa?

Elam Victor

New Member
Joined
Dec 27, 2023
Posts
1
Reaction score
4
Habari, ficha ID yangu plz[emoji120]

Karibia miaka 6 Sasa nina tatizo la harufu mbaya ya kinywa hata nipige mswaki mara tatu kwa siku, bado hii hali inaendelea, na nimejaribu mara kadhaa kwenda hospitali bado sijaona badiliko lolote, ni hali inayonipunguzia kujiamini mbele ya watu je hii hali inasababishwa na nini? Na je, nitumie dawa gani niweze kurejea kwenye hali yangu ya kawaida?
 
Habari, ficha ID yangu plz[emoji120]

Karibia miaka 6 Sasa nina tatizo la harufu mbaya ya kinywa hata nipige mswaki mara tatu kwa siku, bado hii hali inaendelea, na nimejaribu mara kadhaa kwenda hospitali bado sijaona badiliko lolote, ni hali inayonipunguzia kujiamini mbele ya watu je hii hali inasababishwa na nini? Na je, nitumie dawa gani niweze kurejea kwenye hali yangu ya kawaida?
Kuna mshikajinwangu anatema harufu huyo mpaka nimechoka. Kumwambia naona so.
 
Chukua karafuu ya unga changanya na siki uwe unapigia mswaki kutwa mara tatu na uwe unakunywa vijiko vitatu kutwa mara2
Habari, ficha ID yangu plz[emoji120]

Karibia miaka 6 Sasa nina tatizo la harufu mbaya ya kinywa hata nipige mswaki mara tatu kwa siku, bado hii hali inaendelea, na nimejaribu mara kadhaa kwenda hospitali bado sijaona badiliko lolote, ni hali inayonipunguzia kujiamini mbele ya watu je hii hali inasababishwa na nini? Na je, nitumie dawa gani niweze kurejea kwenye hali yangu ya kawaida
 
Salvia Officional, Salvia Reflexa na aina nginezo za Sage ni miongoni mwa dawa zitakazokusaidia..

Chungulia Kooni kule kunakovimba tezi endapo kuna vitu vyeupe vimeganda usukutue uvitoe.
 
Salvia Officional, Salvia Reflexa na aina nginezo za Sage ni miongoni mwa dawa zitakazokusaidia..

Chungulia Kooni kule kunakovimba tezi endapo kuna vitu vyeupe vimeganda usukutue uvitoe.
Mkuu pole kwa tatizo Hilo, Umeshawahi kujaribu kutumia mouth wash?
 
Habari, ficha ID yangu plz[emoji120]

Karibia miaka 6 Sasa nina tatizo la harufu mbaya ya kinywa hata nipige mswaki mara tatu kwa siku, bado hii hali inaendelea, na nimejaribu mara kadhaa kwenda hospitali bado sijaona badiliko lolote, ni hali inayonipunguzia kujiamini mbele ya watu je hii hali inasababishwa na nini? Na je, nitumie dawa gani niweze kurejea kwenye hali yangu ya kawaida?
Msanga Zalala wilaya ya Kisarawe kuna mtaalamu ana dawa hiyo unapona kabisa ndani ya siku 7. Ila mganga mwenyewe ni wale waganga ambao wanaua kabisa jina lako likipelekwa kwake leo basi kesho unazikwa
 
Nenda hospitali onana na tembelea wafuatao.

Daktari specialist wa kinywa na meno.
ENT( Ear, nose & throat) specialist
Physician

Kama watapatikana kwenye hospital moja kutakuwa na wepesi kwako

Pole sana mkuu, UTAPONA na hali hiyo itakwisha kabisa.
 
Back
Top Bottom