Nini sululisho la udhamini wa mikopo midogo midogo Tanzania?

Nini sululisho la udhamini wa mikopo midogo midogo Tanzania?

Street Hustler

JF-Expert Member
Joined
Mar 21, 2014
Posts
2,175
Reaction score
4,299
Katika jambo ambalo limekuwa likikwamisha watanzania wengi kusonga mbele ni swala LA mtaji either wa wazo,kipato au sehemu mfano unakuta mtu unawazo zuri tuu la kibiashara au kilimo Ila changamoto hapo n pesa wapi unapata napia kama unavyojua watanzania wengi hawana nyumba ambacho ndio kigezo kikuu cha UDHAMINI WA mkopo ebu tuelezane kama kuna mbadala wa hii kitu ushawahi kukutana nacho
 
Miongoni mwa changamoto kubwa Za wajasiliamali,in kuwepo kwa taasisi fake za kutoa mikopo.Na nyingine zina majina ya makanisa ili waweze kuaminika...ogopa.usijaribu kukopa pale saccos ya kanisa la kilokole maeneo ya sinza makqburini...ogopa
 
Unafikiriaje revolving fund ya Tsh 50,000/= za Magufuli kila kijiji? Ni naona kama ni wazo zuri. Brac imeisaidia sana Bangladesh, tukiwa makini mfumo huo utatufaa pia.
 
Unafikiriaje revolving fund ya Tsh 50,000/= za Magufuli kila kijiji? Ni naona kama ni wazo zuri. Brac imeisaidia sana Bangladesh, tukiwa makini mfumo huo utatufaa pia.


Unazikumbuka bilion za kikwete???????
 
Zilipelekwa benki, hizi zitapelekwa kwenye grassroots.Hata hivyo huyu Magufuli yule Kikwete. Yule aliwekwa madarakani ni lowasa, huyu atawekwa na watanzania.

Watz gani wanaomuweka madarakani Magufuli, ccm ni ile, magufuli ni yule yule, wizi ni ule ule. Hakuna jipya hapo.

Hata zile za kikwete zililetwa kwenye kata watu wakapewa wakaenda kununua mchele na nyama wakala ubwawa habari ikaisha.
 
Unafikiriaje revolving fund ya Tsh 50,000/= za Magufuli kila kijiji? Ni naona kama ni wazo zuri. Brac imeisaidia sana Bangladesh, tukiwa makini mfumo huo utatufaa pia.

Mbona Tanzania kuna Brac pia lakini haisaidii kama Bangladesh?
 
Watz gani wanaomuweka madarakani Magufuli, ccm ni ile, magufuli ni yule yule, wizi ni ule ule. Hakuna jipya hapo.

Hata zile za kikwete zililetwa kwenye kata watu wakapewa wakaenda kununua mchele na nyama wakala ubwawa habari ikaisha.

Hiyo sentensi ya mwisho ina maana nyingi, tukiondoa propaganda itatusaidia kutafuta mbinu bora za kuwakwamua wananchi. Ila tusikate tamaa kuwapa tena, ni haki hao kufaidi kisungura hata kama ni kidogo.
 
Si mbaya kama watakua na nia hasa ya kuinua maskini kwa mikopo yenye masharti nafuu,Lakini niwajuavyo wahindi!!!sidhani kwakweli..
 
Si mbaya kama watakua na nia hasa ya kuinua maskini kwa mikopo yenye masharti nafuu,Lakini niwajuavyo wahindi!!!sidhani kwakweli..

Mimi reference yangu ni ajadi ya mil 50,000/= za Magufuli. Kwamba kuwepo chombo cha kuwapa wananchi mbinu za biashara, kuwapa mikopo na kuwasimamia kama mfumo wa Brac huko kwao, tusitoe ili mradi kutoa kutimiza ahadi.
 
Back
Top Bottom