Nini suruhisho la kuepuka ama kupunguza athari za msongo wa mawazo?

Nini suruhisho la kuepuka ama kupunguza athari za msongo wa mawazo?

Mpauko

R.I.P
Joined
Jan 19, 2019
Posts
2,323
Reaction score
3,428
Habarini wakuu!

Natumaini pasaka ilikuwa vyema kabisa kwetu sote,tujikite kwenye topic

Binafsi kwa miaka ya karibuni nimeanza kuona matokeo ya stress zisizokwisha,binafsi huniwia ugumu mno kuzuia hali hii kwa sababu ya changamoto za kimaisha (bado napambana kuzitatua) ,hizi n outcomes zilizojitokeza

Maumivu ya kichwa yasiyokwisha

Kizunguzungu(baada ya kupima niliambiwa ni presha)

Uchovu usio wa kawaida

Kchefuchefu na kukosa hamu ya kula

Kupoteza uzito kutoka 55 kilos had 46kilos

Anxiety

Haya ni matokeo machungu nayoyaona na nadhan nimeshaadhiriwa sana kisaikolojia

Je inawezekana kuushinda msongo wa mawazo mahali ambapo ni vigumu kutatua changamoto zinazokukabili?

Huna dawa zisizo na madhara zinazweza kusaidia tatizo hili?
 
hili ni tatzo kwa watu wengi sana kipnd hiki, ila ndugu kdg nirahisi kukushaur km utagusia japo kdg msongo huo wa mawazo unasababishwa na mambo gani yanayokusibu japo juujuuu , maana pengne ni private sana.
 
pole ndugu,vyovyote iwavyo usijiingize kwenye pombe au mahusiano kwa nia ya kuondoa stress,jitahidi kujichanganya na kwenda sehemu tofauti tofauti...mimi siku tatu hizi kuna jambo linanitatiza hadi naona nimebeba dunia kichwani, nimejikuta jana nimetembea zaidi ya kilometa 12,kurudi ilibidi nichukue uba,ila nashakuru nilipata usingizi swafi,leo toka kaangalie mechi ya man u na man c,ila kama mshabiki wa man u kama mimi jiandae kuchanganyikiwa zaidi maanake huyu masai haeleweki
 
Habarini wakuu!

Natumaini pasaka ilikuwa vyema kabisa kwetu sote,tujikite kwenye topic

Binafsi kwa miaka ya karibuni nimeanza kuona matokeo ya stress zisizokwisha,binafsi huniwia ugumu mno kuzuia hali hii kwa sababu ya changamoto za kimaisha (bado napambana kuzitatua) ,hizi n outcomes zilizojitokeza

Maumivu ya kichwa yasiyokwisha

Kizunguzungu(baada ya kupima niliambiwa ni presha)

Uchovu usio wa kawaida

Kchefuchefu na kukosa hamu ya kula

Kupoteza uzito kutoka 55 kilos had 46kilos

Anxiety

Haya ni matokeo machungu nayoyaona na nadhan nimeshaadhiriwa sana kisaikolojia

Je inawezekana kuushinda msongo wa mawazo mahali ambapo ni vigumu kutatua changamoto zinazokukabili?

Huna dawa zisizo na madhara zinazweza kusaidia tatizo hili?
Pole Sana... Jaribu Tina hii kea muda wa siku 21 halfu jipime!!
Chukuwa chembe 10 za kahawa mbichi (zisizo kangwa) roweka ndani ya glass ya maji acha ikaae usiku mzima...ifikapo alfajiri (asubuhi) unywe kabla ya breakfast..endelea kwa siku 21.
Good luck
 
Habarini wakuu!

Natumaini pasaka ilikuwa vyema kabisa kwetu sote,tujikite kwenye topic

Binafsi kwa miaka ya karibuni nimeanza kuona matokeo ya stress zisizokwisha,binafsi huniwia ugumu mno kuzuia hali hii kwa sababu ya changamoto za kimaisha (bado napambana kuzitatua) ,hizi n outcomes zilizojitokeza

Maumivu ya kichwa yasiyokwisha

Kizunguzungu(baada ya kupima niliambiwa ni presha)

Uchovu usio wa kawaida

Kchefuchefu na kukosa hamu ya kula

Kupoteza uzito kutoka 55 kilos had 46kilos

Anxiety

Haya ni matokeo machungu nayoyaona na nadhan nimeshaadhiriwa sana kisaikolojia

Je inawezekana kuushinda msongo wa mawazo mahali ambapo ni vigumu kutatua changamoto zinazokukabili?

Huna dawa zisizo na madhara zinazweza kusaidia tatizo hili?
pôle sana Ndugu Mungu ni Njema, changamoto uzipatazo ndizo nazozipata mimi
 
Pole Sana... Jaribu Tina hii kea muda wa siku 21 halfu jipime!!
Chukuwa chembe 10 za kahawa mbichi (zisizo kangwa) roweka ndani ya glass ya maji acha ikaae usiku mzima...ifikapo alfajiri (asubuhi) unywe kabla ya breakfast..endelea kwa siku 21.
Good luck
Mkuu hzi mbegu nikishaloweka siku moja naweza loweka mbegu hzohzo kwa siku inayofuata?

Je naweza changanya na sukari au asali?

Je nakunywa glas nzima au kiasi?
 
pole ndugu,vyovyote iwavyo usijiingize kwenye pombe au mahusiano kwa nia ya kuondoa stress,jitahidi kujichanganya na kwenda sehemu tofauti tofauti...mimi siku tatu hizi kuna jambo linanitatiza hadi naona nimebeba dunia kichwani, nimejikuta jana nimetembea zaidi ya kilometa 12,kurudi ilibidi nichukue uba,ila nashakuru nilipata usingizi swafi,leo toka kaangalie mechi ya man u na man c,ila kama mshabiki wa man u kama mimi jiandae kuchanganyikiwa zaidi maanake huyu masai haeleweki
haha shukran mkuu nshawah tembea km zakutosha kwa 7 hours kutokana na stress

Mimi pia n mdau wa soka ni mshika bunduki siku nikibahatika kupata pesa kwenda kutazama hizi mechi za soka nafeel relaxed sana
Tatzo ni pale kila kikupacho faraja kinahitaji gharama mf.buku kutazama mpira au nauli kutembelea maeneo ya karibu mf beach

Anyway top four itabidi unisamehe tu arsenal tunaichukua
 
haha shukran mkuu nshawah tembea km zakutosha kwa 7 hours kutokana na stress

Mimi pia n mdau wa soka ni mshika bunduki siku nikibahatika kupata pesa kwenda kutazama hizi mechi za soka nafeel relaxed sana
Tatzo ni pale kila kikupacho faraja kinahitaji gharama mf.buku kutazama mpira au nauli kutembelea maeneo ya karibu mf beach

Anyway top four itabidi unisamehe tu arsenal tunaichukua
Arsenal wanakuongezea stress tena tayari kafa tatu mtungi kipindi cha kwanza[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

mpuuzi mpuuzi tu
 
Mkuu, wewe ni mpenzi wa Game za PC? Njoo nikupe...

Fifa 19
Battlefield 3 na 4
Far Cry 3
Call of Duty....

Na zingine...
Asante sana mkuu hzo ni very stres relieverznasaidia sana and i wish kuzipata

Uchumi si rafiki mkuu kumudu kununua ps
 
Bana bana nimekua mpooole dua zote man u nae afwee
Arsenal wanakuongezea stress tena tayari kafa tatu mtungi kipindi cha kwanza[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

mpuuzi mpuuzi tu
 
Fanya mazoezi,socialize na ndugu,jirani na marafiki,jichanganye kwenye mikusanyiko mf. Viwanja vya soka,basketball,beach n.k pata muda pia wa kutosha kulala,usiku au mchana/jioni
 
hili ni tatzo kwa watu wengi sana kipnd hiki, ila ndugu kdg nirahisi kukushaur km utagusia japo kdg msongo huo wa mawazo unasababishwa na mambo gani yanayokusibu japo juujuuu , maana pengne ni private sana.
Shukran mkuu kama hutojali sana naomba pitia nyuzi zangu kadhaa utapata kufahamu vizuri sana mkuu
 
Back
Top Bottom