Nini Tafasiri ya kupandisha Bendera Asubuhi na kushusha saa 12 jioni?

Nini Tafasiri ya kupandisha Bendera Asubuhi na kushusha saa 12 jioni?

The Burning Spear

JF-Expert Member
Joined
Dec 23, 2011
Posts
4,118
Reaction score
9,864
GreatThinkers

Naombeni nimpe muongozo.

Mtu mzito akifa bendera zinapepea nusu mlingoti.

Lakini katika hali ya kawaida sa12 lazima bendera zishushwe why? Ni utamaduni ama kitu gani?
 
Back
Top Bottom