Nini Tafsiri ya kongamano la BAVICHA lilofanyika Dar na hili la Mwanza?

Nini Tafsiri ya kongamano la BAVICHA lilofanyika Dar na hili la Mwanza?

Paf

JF-Expert Member
Joined
May 25, 2021
Posts
1,703
Reaction score
3,307
Mwezi uliopita Bavicha waliaanda kongamano huko Dar, wakaongea hadi jasho na likapita.

Je, Mwanza wangeacha jasho liwatoke silingepita kama Dar.
 
Kwani kuna haja kiongozi akiwa safarini kusimama barabarani na kuhutubia?

Foleni inayotengenzwa hauwezi kuepukika akizungumza kwenye luninga?
 
Back
Top Bottom