Tino Rushema
Member
- Jan 10, 2015
- 5
- 2
Hi wana jf, naomba kuelimishwa maana kuna Usemi huu "Mungu si Athuman"siuelewi. Watu wanatumia huu usemi wanapofanikiwa ktk jambo flani ambalo hawakutalajia au kuwa na uhakika nalo.
Huyu Athuman alikuwa mtu wa namna gani kwenye maandiko?Kwanini awe yy tu asemwe si kama mungu kitabia asisemwe Ayub,Shaban,Hamis...........jibu kwa mwenye ufahamu.
Huyu Athuman alikuwa mtu wa namna gani kwenye maandiko?Kwanini awe yy tu asemwe si kama mungu kitabia asisemwe Ayub,Shaban,Hamis...........jibu kwa mwenye ufahamu.