Atakuja mwingine hapa na "ukimwona Zinduna na ambali yupo nyuma" na ataanza kuuliza huyu Zinduna ni nani hasa kwanini isiwe Rose au Asha, btw ni msemo tu kama ilivyo misemo minginehakuna aliyejibu swali mnazungukazunguka tu yeye anataka kujua over all names hapa duniani kwa nini likachukuliwa jina la athumani na sio lingine ,who was that athumani
mPENDWA KWA HESHIMA NA taadhima nikujuze machache.. suali lako ni zuri na linatoa historiya !! Ni hivi...hadi kufikia karne 19/20 pwani afrika mashairiki ilikuwa ikitawaliwa na waarabu na lugha kiswahili ilikuwa ikiongewa kwa ufasaha...Pia Jina la OTHMANi (Athuman) ndo lilikuwa very very common ktk wenyeji wa humo.... (kwa vile swahaba Othman alikuwa mnyenyekevu na mtu wa watu katika Ennzi zake) jina hilo lilipendwa sana na wakazi wengi na kutumika katika mambo mengi na ktk biashara... kwa uaminifu wa mwenye jina.Hivyo ikapalekea jina la Athumani kuwa ni Mtu mema ila kasoro kuwa na Kudra iLaahia (Nguvu za kiMungu) !! ndo ukasikia "Mungu si Athumani"Hi wana jf, naomba kuelimishwa maana kuna Usemi huu "Mungu si Athuman"siuelewi. Watu wanatumia huu usemi wanapofanikiwa ktk jambo flani ambalo hawakutalajia au kuwa na uhakika nalo. Huyu Athuman alikuwa mtu wa namna gani kwenye maandiko?Kwanini awe yy tu asemwe si kama mungu kitabia asisemwe Ayub,Shaban,Hamis...........jibu kwa mwenye ufahamu.
Hi wana jf, naomba kuelimishwa maana kuna Usemi huu "Mungu si Athuman"siuelewi. Watu wanatumia huu usemi wanapofanikiwa ktk jambo flani ambalo hawakutalajia au kuwa na uhakika nalo.
Huyu Athuman alikuwa mtu wa namna gani kwenye maandiko?Kwanini awe yy tu asemwe si kama mungu kitabia asisemwe Ayub,Shaban,Hamis...........jibu kwa mwenye ufahamu.
Achumani chi ntu, Achumani mbwa