Nini tafsiri ya ndoto hii

Nini tafsiri ya ndoto hii

Mla Bata

JF-Expert Member
Joined
Jan 24, 2013
Posts
7,841
Reaction score
17,491
Wasalaam,

Watafsiri ndoto, watu wa Imani, manabii, wanajimu....n.k, naombeni msaada wenu.

Ipo hivi.....

Kuna aina ya ndoto nimekuwa nikiota kwa muda mrefu sana kwenye maisha yangu, over 7+ years, nashindwa kuelewa maana yake na kwanini zimekuwa zikijirudia kwa namna yake kwenye hali tofauti tofauti.

1. Inatokea Kuna msala mkubwa nakuwa nimefanya then nakuwa most wanted, natafutwa na mamlaka kila mahali, ndoto nzima nakuwa nahangaika kukimbia na kujificha either maporini, kwenye misitu mikubwa n.k uwoga na wasiwasi ndio vinatawala mpaka nitaposhtuka usingizini.

2. Kuna ndoto hunijia ikinirudisha kipindi cha shule hasa chuo/high school, let's say naingia kwenye mtihani kwa kushtukizwa nikiwa sina ninachokijua, moyo unajawa na woga, mfadhaiko, simanzi mpaka nitaposhtuka,

Upande mwingine..... shule imefunguliwa (boarding school) asubuhi ya kuingia darasani wakati watu wanajiandaa mimi nagundua sina uniform either shati ama suruali na nakosa option zaidi ya kuchanganyikiwa, kuingia na uwoga, majuto, simanzi na mahangaiko ya nafsi mpaka nitaposhtuka usingizini (hii ndoto imekuwa ikijirudia mara nyingi zaidi).

Hebu mnijuze wakuu kama kuna mtu ana ujuzi wa mambo haya, tafsiri, experience n.k.



Mshana Jr Rakims Bujibuji Simba Nyamaume


Wasalaam,

"Everything is possible for those who believe" lets meet at the top, cheers 🥂.

Mla bata

München, Deutschland 🇩🇪.
 
Sina ujuzi wa ndoto ila nachofahamu km ndoto hujirudia ni ishara ya jambo fulani

Ila km ndoto Yako Kuna viashiria vya maji either kuyaona kunywa au kuyagusa ni kuwa Kuna nguvu za Mungu zinakulinda

Kwenye ndoto kukiwa na ishara ya nyoka ni watu wabaya wapo karibu nawe

Ukiona Kuna viashiria vya maji yanasomba vitu ni ishara Vitayako Mungu anakupigania
Hayo ndio nayojua

Kuota uko shule kwenye mitihani na hukujiandaa Kwa ninavofahamu ni kuwa Kuna mambo hayako sawa pia huenda huyyatilii maanani lakini ni ya msingi sana unatakiwa uongeze bidii na ufanye sana maombi
Fanya sana ibada
 
Ya pili inawakilisha Stagnation spirit na spirit of backwardness. Yaani maisha yako ukiyaangalia unakuta unapiga hatua moja mbele halafu kumi nyuma. Nduo maana unaona hizo za kurudi shule au mahali ulipokulia.

Ya tatu inawakilisha spirit of failure at the edge of breakthrough, au almost there but never there. Yaani ktk ulimwengu wa mwili huwa vitu vyako vikikaribia ku mature vinaharibika.

Hizo ndoto zilinitesakwa muda murefu sana pia nikapata msaada wa maombi.
 
Kuota uko shule kwenye mitihani na hukujiandaa Kwa ninavofahamu ni kuwa Kuna mambo hayako sawa pia huenda huyyatilii maanani lakini ni ya msingi sana unatakiwa uongeze bidii na ufanye sana maombi
Fanya sana ibada

Shukrani bibie,

Kuna mtu nilipata kumsikia mahali humu akisema kuwa hiyo ya kukosa maandalizi ni ishara kiimani kuwa kuna jambo zito Unataka kupewa (baraka, riziki n.k) lakini you are not good enough kuhandle hivyo vitu ama situations, either kwa baadhi ya tabia zako n.k so kuna namna inabidi uchange way of life na vitu kama hivyo, I think inarelate na ulichokiandika na inamake sense kwa upande wangu.
 
Ya pili inawakilisha Stagnation spirit na spirit of backwardness. Yaani maisha yako ukiyaangalia unakuta unapiga hatua moja mbele halafu kumi nyuma. Nduo maana unaona hizo za kurudi shule au mahali ulipokulia.

Ya tatu inawakilisha spirit of failure at the edge of breakthrough, au almost there but never there. Yaani ktk ulimwengu wa mwili huwa vitu vyako vikikaribia ku mature vinaharibika.

Hizo ndoto zilinitesakwa muda murefu sana pia nikapata msaada wa maombi.
Shukrani.....

Are you saying those are signs ya vikwazo vinavyokwamisha kwenye mafanikiwa?
 
Namba Moja unafatiliwa sana na wachawi,fanya sana ibada jikabizi kwa Mungu usisahau kutoa sadaka.

La pili ni mikwamo tu ya kimaisha kurudi nyuma kimaendeleo.

Namba tatu na 2 ni kitu kimoja.
Wasalaam,

Watafsiri ndoto, watu wa Imani, manabii, wanajimu....n.k, naombeni msaada wenu.

Ipo hivi.....


Kuna aina ya ndoto nimekuwa nikiota kwa muda mrefu sana kwenye maisha yangu, over 7+ years, nashindwa kuelewa maana yake na kwanini zimekuwa zikijirudia kwa namna yake kwenye hali tofauti tofauti.

1. Inatokea Kuna msala mkubwa nakuwa nimefanya then nakuwa most wanted, natafutwa na mamlaka kila mahali, ndoto nzima nakuwa nahangaika kukimbia na kujificha either maporini, kwenye misitu mikubwa n.k uwoga na wasiwasi ndio vinatawala mpaka nitaposhtuka usingizini.


2. Kuna ndoto hunijia ikinirudisha kipindi cha shule hasa chuo/high school, let's say naingia kwenye mtihani kwa kushtukizwa nikiwa sina ninachokijua, moyo unajawa na woga, mfadhaiko, simanzi mpaka nitaposhtuka,

Upande mwingine..... shule imefunguliwa (boarding school) asubuhi ya kuingia darasani wakati watu wanajiandaa mimi nagundua sina uniform either shati ama suruali na nakosa option zaidi ya kuchanganyikiwa, kuingia na uwoga, majuto, simanzi na mahangaiko ya nafsi mpaka nitaposhtuka usingizini (hii ndoto imekuwa ikijirudia mara nyingi zaidi).

Ebu mnijuze wakuu kama kuna mtu ana ujuzi wa mambo haya, tafsiri, experience n.k.


Wasalamu.


Mla Bata.


Mshana Jr Rakims Bujibuji Simba Nyamaume
 
Namba Moja unafatiliwa sana na wachawi,fanya sana ibada jikabizi kwa Mungu usisahau kutoa sadaka.

La pili ni mikwamo tu ya kimaisha kurudi nyuma kimaendeleo.

Namba tatu na 2 ni kitu kimoja.
Nourhan, Ahsante!

Hiyo ya kwanza imenitisha Sana, umewahi kusikia kwa watu ama kuexperience wewe mwenyewe before?

Namba mbili na tatu Kuna kitu specific natakiwa kufanya?
 
Nourhan, Ahsante!

Hiyo ya kwanza imenitisha Sana, umewahi kusikia kwa watu ama kuexperience wewe mwenyewe before?

Namba mbili na tatu Kuna kitu specific natakiwa kufanya?
Yes ndo maana nikakujibu usioge ukiwa na Mungu nani wa kukuumiza??!

Hapo nini ufanye ushauri wangu mkubwa Ibada sijajua dini gani

Ila mcheck huyu ila anasafiri 0624558418 atakupa muongozo mwambie kanipa dada yako
 
Yes ndo maana nikakujibu usioge ukiwa na Mungu nani wa kukuumiza??!

Hapo nini ufanye ushauri wangu mkubwa Ibada sijajua dini gani

Ila mcheck huyu ila anasafiri 0624558418 atakupa muongozo mwambie kanipa dada yako
Shukrani, nitamtamfuta, ni mtaalamu wa ndoto ama?
 
Yes ndo maana nikakujibu usioge ukiwa na Mungu nani wa kukuumiza??!

Hapo nini ufanye ushauri wangu mkubwa Ibada sijajua dini gani

Ila mcheck huyu ila anasafiri 0624558418 atakupa muongozo mwambie kanipa dada yako
Nourhan Ubarikiwe sana nimesaidika, tumezungumza kwa mda mrefu sana na bro, amenipa mwanga, ni mtu poa Sana.
 
Nourhan Ubarikiwe sana nimesaidika, tumezungumza kwa mda mrefu sana na bro, amenipa mwanga, ni mtu poa Sana.
Yes mtu poa sana kasafiri leo anaenda Mwanza,kama nawasikia umemwambia kanipa namba dada yako akakutajia my real name 😂😂😂
 
Yes mtu poa sana kasafiri leo anaenda Mwanza,kama nawasikia umemwambia kanipa namba dada yako akakutajia my real name 😂😂😂
😂😂 Hamna walaa, kaniuliza tu Dada yangu gani??? Nikamwambia simjui jina lake , then akanipigia...Ahsante sana ndugu yangu, Amenifungua Sana macho mambo mengi, usiende kumuuliza Sasa huko 😂
 
Back
Top Bottom