Nini tena kimemsibu Hamorapa!!!!?

BRO SANTANA

JF-Expert Member
Joined
Jun 15, 2015
Posts
1,845
Reaction score
2,248
Wakuu kwema?
Hivi huyu mmakonde aliyepata kiki kwa ishu za ajabu ajabu kama vile kukimbia bastola iliyonyoshwa kwa mh Nape na mengine mengi mbona kimya.
Amepotelea wap wakuu.
Anayejua ukimya wake atupe ubuyu kiaina basi.
 
Majani aliingia cha kike kwa kudhani amepata mtu atakayempa heshima kama Sir Nature au Albert Mangwair.Wale jamaa walikuwa na vipaji vya kuzaliwa siyo kutengenezwa brothers.Kwa huyo dogo majani aliingia cha kike aseee.
 
Jamaa aliyewekeza kwa Hamolapa naona kastuka, ilikuwa biashara kichaa, hasara ilikuwa dhahiri shahili..
 
[emoji23][emoji23]Alitaka jina tu, kashatosheka.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…