Nini tiba ya magoti kuwaka moto

BAKOI

JF-Expert Member
Joined
Jan 31, 2016
Posts
1,211
Reaction score
2,329
Wakuu habari zenu
Nina tatizo la magoti yangu yanakuwa Kama yanawaka moto wakati nimetulia. Lakini wakati naendelea na shughuli zangu sisikii hilo tatizo.
Je tiba yake n nini hasa
 
Wakuu habari zenu
Nina tatizo la magoti yangu yanakuwa Kama yanawaka moto wakati nimetulia. Lakini wakati naendelea na shughuli zangu sisikii hilo tatizo.
Je tiba yake n nini hasa
Mimi ni mikono na miguu na nikikanyaga chini ni kama miba. Haya ni maradhi ya utu uzima hayaambukizwi na ukienda hospitals utaambiwa
1. Punguza uzito
2. Utaambiwa magonjwa ya nerves
3. Na utapewa neuro support
4. Utapewa painkillers and so on, but shida ya utu uzima ndiyo kwanza inaanza.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…