Nini tiba ya maumivu ya nyonga kwa wachezaji wa mpira wa miguu?

Nini tiba ya maumivu ya nyonga kwa wachezaji wa mpira wa miguu?

desmond JJ

Member
Joined
Jul 6, 2012
Posts
55
Reaction score
27
Wataalamu naomba kufahamishwa namna ya kutibu maumivu ya nyonga, ni tatizo linalonikumba kila mara nikiwa katika mazoezi ya mpira wa miguu au hata hizi mechi zetu za mchangani maumivu yananinyima uwezo wa kupiga pasi ndefu Kukimbia kwa spidi
Kugeuka kwa haraka Pamoja na kuruka (high jump) naomba msaada wenu tafadhali

Untitled.png
 
Back
Top Bottom