masele paul
Member
- Jan 12, 2017
- 46
- 37
Wadau mwa jf ninaomba kujua tofauti ya injini hizo hapo juu. Uimara wake, durability na performance kwa ujumla katika maeneo ya vijijini
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Asante kwa uelewa wako. Ukienda Google utakuta zote wanazisifia kwa namna. Huwezi kuona tofauti. Hapa ninajua kuna waliozitumia na mafundi pia. Hivyo nitapata maelezo ya uhakika kutokana na uzoefu wa watu mbalimbali. Maelezo yaliyoko Google ni ya producer hawezi kuzisemea vibaya hata kama zinamatatizo ya kiufundi. Mpaka tumiaji mwingine alalamike. Usiwe mchoyo wa Elimu kaka.Mkuu uki Google Kila kitu kipo wazi..... Mbona technology ipo kiganjani mwako unataka utafuniwekila kitu... Acha izooooool jombaaaaaaa