sanjomnyama
JF-Expert Member
- Mar 20, 2016
- 261
- 160
pro kama jina lilivyo ina specs kubwa, imetengenezwa kwa ajili ya watu wenye matumizi makubwa kama video editors, graphics etc, na siku zote bei ni kubwa.
Air ni kwa ajili ya matumizi madogo kama mwanafunz, ofisini kwa mambo madogo na hata nyumbani kuperuzi na kucheki movie, bei yake huwa ndogo kuliko pro.
Yote hayo ni tisa, kumi inabidi ujue ni ya mwaka gani, hata kama ni pro kama ina core 2 duo ni bure itapitwa na air ya mwaka 2016 yenye core m, hivyo ni vyema kujua ni ya mwaka gani na specs zake.
kuanzia 2011 mwishoni, ila kuwa salama tafuta angalau ya 2012 ili kuepuka za 2011 mwanzoni. Na inavyokaribia 2017 ndio bora zaidiAhsante mkuu kwa hiyo nichukue ya mwaka gani sasa kama ni hiyo Mac Pro.??
Shukrani sana mkuu.., ngoja jamaa akileta niikague kwanza.kuanzia 2011 mwishoni, ila kuwa salama tafuta angalau ya 2012 ili kuepuka za 2011 mwanzoni. Na inavyokaribia 2017 ndio bora zaidi
ni laptop mkuu desktop zinaitwa imac na zile desktop ndogo zinaitwa mac miniMkuu Chief-Mkwawa mac book pro ni laptop au kuna desktop pia?
Ahsante mkuu kwa hiyo nichukue ya mwaka gani sasa kama ni hiyo Mac Pro.??
ni laptop mkuu desktop zinaitwa imac na zile desktop ndogo zinaitwa mac mini
Mkuu imac advantage yake ni kwamba ina kioo hapo hapo, desktop na monitor vimeunganishwa.mkuu,naomba kujua advantage za kumiliki iMAC au ina sifa gani kama umewahi kutumia maana nafikilia kununua
Sent using Jamii Forums mobile app
hii inaweza kufanya kazi kama pc nyingine za window,au ina mipaka kama zilivyo simu zao???Mkuu imac advantage yake ni kwamba ina kioo hapo hapo, desktop na monitor vimeunganishwa.
Kuhusu mambo mengine kama processor/ram/hdd unaangalia kama vifaa vyengine. Ungeeka model husika na kiasi cha bei ingekuwa vizuri kushauri zaidi.
Unaweza hata ukaweka windows mkuu, osx ni open kuliko ios. Hivyo suala la software sio shida, unaangalia tu hardware.hii inaweza kufanya kazi kama pc nyingine za window,au ina mipaka kama zilivyo simu zao???
i mean kuingiza nyimbo,kusoma flash na kiweka nyimbo nk.
Sent using Jamii Forums mobile app
pro kama jina lilivyo ina specs kubwa, imetengenezwa kwa ajili ya watu wenye matumizi makubwa kama video editors, graphics etc, na siku zote bei ni kubwa.
Air ni kwa ajili ya matumizi madogo kama mwanafunz, ofisini kwa mambo madogo na hata nyumbani kuperuzi na kucheki movie, bei yake huwa ndogo kuliko pro.
Yote hayo ni tisa, kumi inabidi ujue ni ya mwaka gani, hata kama ni pro kama ina core 2 duo ni bure itapitwa na air ya mwaka 2016 yenye core m, hivyo ni vyema kujua ni ya mwaka gani na specs zake.
Mara nyingi mkuu hii hutokana na battery kuanza kufa, na sio macbook tu vifaa vingi vinavyotumia battery huweza kupata tatizo kama hili.Habari!
Naomba nisaidie nunatumia Mac book Air lakini imekuwa na tatizo la kuzimika ghafla hasa charge inapofika 75% ni takribani miezi miwili sasa. Mwanzo ilikuwa inazima chaji ikiwa 34-35%.
Na huchaji mpaka ifike 100% ndio huitoa katika chaja yake.