Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Upo sahihi lkn pia wenzetu Kenya wanatumia Naibu Rais ni nini tofauti? Na je tunaweza kuwa nao wote kwa wakati mmoja!!! Nan atakua zaid kiprotocal kwan nakumbuku siku moja Makam alimkaribisha ukumbini Naibu rais je hii ilikua sawa???Zitto alimanisha Bashite maana yeye ndio anaongoza kwa kupata live covarage baada ya Mkulu kuliko hata Mama yetu.
Nini tofauti kati ya Makam wa rais, Naibu rais na Kaimu rais. Kwa uelewa kidogo nilionao naona kiutendaji Naibu rais ananguvu kuliko Makam wa rais..... Je imekaaje vyote ni sawa au kunautofauti? Karibu kwa mchango wako
[emoji23][emoji23][emoji23]Zitto alimanisha Bashite maana yeye ndio anaongoza kwa kupata live covarage baada ya Mkulu kuliko hata Mama yetu.
Upo sahihi lkn pia wenzetu Kenya wanatumia Naibu Rais ni nini tofauti? Na je tunaweza kuwa nao wote kwa wakati mmoja!!! Nan atakua zaid kiprotocal kwan nakumbuku siku moja Makam alimkaribisha ukumbini Naibu rais je hii ilikua sawa???
Kaimu raisI sawa wa muda lakin iyo naibu tofaut na makam wa rais kiutendaji, I mean naibu rais yupo active kwenye daily activities haijalishi rais yupo au hayupo lkn makam nasubili mpaka rais ayupokaimu rais ni wa mda tu. naibu rais ni lugha ya kiarabu ina maana ya makam wa rais
Naibu ndie Makamu,Nini tofauti kati ya Makam wa rais, Naibu rais na Kaimu rais. Kwa uelewa kidogo nilionao naona kiutendaji Naibu rais ananguvu kuliko Makam wa rais..... Je imekaaje vyote ni sawa au kunautofauti? Karibu kwa mchango wako