Nini tofauti kati ya maneno 'kuwaza' na 'kufikiri'?

Nini tofauti kati ya maneno 'kuwaza' na 'kufikiri'?

fungi6

JF-Expert Member
Joined
Nov 24, 2017
Posts
287
Reaction score
266
Hivi kuna utofauti mkubwa baina ya haya maneno?

Je, nikiwaza ninaweza kuwa nimefikiri?
 
Hivi kuna utofauti mkubwa bayana ya haya maneno ??

Je, nikiwaza ninaweza kuwa nimefikiri?
Kuwaza ni kuwa na mawazo juu ya jambo fulani, na ni tendo (kuwaza) linalochukua muda mrefu wa tafakari n.k. na kutegemeana na jambo unalowaza, linaweza hata kukunyima raha, kukukondesha, n.k.

Kufikiri halichukui muda na mara nyingi ni juu ya mambo yasiyo na uzito, ya mpito. Kufikiri pia inaweza kuwa kudhani.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom